Watu 19 Wamefariki Katika Ajali ya Basi na Lori

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu wasiopungua 19 wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa May 26, 2018 wakati basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori katika wilaya ya Kiryandongo magharibi mwa Uganda.

Miongoni mwa waliofariki kulikuwa na watoto watatu na watu wazima 16, taarifa kutoka kwa maafisa wa polisi ilisema.

“Timu ya uokoaji wanafanya kazi bila kuchoka ili kuwaokoa majeruhi na kuwapeleka katika hospitali ya Kiryandongo,” taarifa hiyo ambayo iliyotolewa na msemaji wa polisi, Emilian Kayima, ilisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad