Zari Amkumbuka Ivan Katika Kumbukumbu Ya Kifo Chake....Leo Katimiza Mwaka Mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zarinah Hassan maarufu kama Zari The Bosslady amezidi kumkumbuka aliyekuwa mume wake Ivan Semwanga aliyeaga dunia mwaka jana tarehe 25 mwezi wa tano.

Ivan ametimiza mwaka mmoja Tangu alipofariki mwaka jana nchini Afrika ya Kusini kutokana na maradhi ya moyo.

Zari alijaliwa kupata watoto watatu wa kiume na marehemu Ivan na walikuwa katika Mahusiano kwa miaka mingi sana.

Zari alianza kumuenzi Marehemu Ivan tangu jana ambapo aliandika ujumbe huu Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad