AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chris amemfollow Rihanna kwenye Instagram ikiwa ni muda mfupi baada ya taarifa za mrembo huyo kuachana na mpenzi wake, Hassan Jameel.
Hatua hiyo ya Chris imeonekana kama bado anamfukuzia mrembo huyo ambaye aliwahi kummiliki mwaka 2007 na walimwagana 2009.
Rihanna na Hassan ambaye ni tajiri wa Saudi Arabia wamekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi tangu Juni mwkaa jana, ila imeripotiwa kuwa kwa sasa wameachana na Rihanna ndiye aliyevunja mahusiano hayo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK