Hakuna Mwanamke Yeyote Anayeweza Kunichukulia Mume Wangu Dogo Janja- Irene Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Hakuna Mwanamke Yeyote Anayeweza Kunichukulia Mume Wangu Dogo Janja- Irene Uwoya
STAA mkali wa filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kuwa yeye ni mwa­namke anayejiamini kuliko watu wanavyo­dhani na wala hana wasiwasi na mwan­amke yeyote kum­chukulia mumewe, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’.

Akizungumza na Over Ze Weekend, Uwoya alisema alipoamua kuingia kwenye ndoa na mwanamuz­iki huyo alijua wazi ‘nyakun­yaku’ wapo, la­kini kikubwa anajiamini.

Akasema hata mumewe huyo aende wapi anajua hawezi kuhangaika na wanawake wen­gine kwa sababu yeye ni mwanamke aliyekamilika.

“Mimi sio mwan­amke wa kufuatana na mume nyuma kwa sababu najiamiani kuliko na ninajua wazi hakuna ambaye anaweza kunin­yakulia mume wan­gu. Najiamini kila idara mimi sina wasiwasi wowote,” alisema Uwoya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad