AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Over Ze Weekend, Uwoya alisema alipoamua kuingia kwenye ndoa na mwanamuziki huyo alijua wazi ‘nyakunyaku’ wapo, lakini kikubwa anajiamini.
Akasema hata mumewe huyo aende wapi anajua hawezi kuhangaika na wanawake wengine kwa sababu yeye ni mwanamke aliyekamilika.
“Mimi sio mwanamke wa kufuatana na mume nyuma kwa sababu najiamiani kuliko na ninajua wazi hakuna ambaye anaweza kuninyakulia mume wangu. Najiamini kila idara mimi sina wasiwasi wowote,” alisema Uwoya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK