AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jonathan Shanna amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa kuna mwanamke aliyedhaniwa kuwa na matatizo ya akili ambaye alikusanya taka na kuzichoma nje ya ofisi, ambapo upepo ulipelekea moto kushika jengo la ofisi hizo.
“Kuna Mwanamke kichaa alikuwa na moto nje ya ofisi, upepo ulipokuja ulisukuma moto ukashika jengo, ambapo kikosi cha zimamoto na uokoaji kwa kushirikiana na wananchi, walifanya kazi ya kuuzima lakini tayari ulikuwa umeteketeza jengo zima na mali chache ziliokolewa ”, amesema Kamanda Shanna.
Aidha Kamanda Shanna amesema kuwa hasara iliyotokana na moto huo bado Mh. Ridhiwani anapiga hesabu na atakapokamilisha atatoa taarifa rasmi. Msikilize Kamanda Shanna hapo chini
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK