Kiboko Aliyeleta Taharuki Moro Auliwa.... Wananchi Wagaiwa Nyama Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KUFUATIA mnyama aina ya Kiboko aliyeibuka na kuzua taharuki kwa saa kadhaa jirani na makazi ya watu maeneo ya Kihonda Mbuyuni karibu na Kanisa la Mangwea nje kidogo ya mji wa Morogoro, ameuawa kwa kupigwa risasi kisha kukatwa kichwa na Maofisa Maliasili, huku nyama yake ikigawiwa kwa wananchi waliokuwa eneo la tukio.
KUFUATIA mnyama aina ya Kiboko aliyeibuka na kuzua taharuki kwa saa kadhaa jirani na makazi ya watu maeneo ya Kihonda Mbuyuni karibu na Kanisa la Mangwea nje kidogo ya mji wa Morogoro, ameuawa kwa kupigwa risasi kisha kukatwa kichwa na Maofisa Maliasili, huku nyama yake ikigawiwa kwa wananchi waliokuwa eneo la tukio.

Kabla ya kuuwawa kwa kiboko huyo anadaiwa hakuleta madhara yoyote kwa watu na wananchi wamejitokeza kwa wingi kushuhudia tukio hilo ambalo limewaacha na mshangao mkubwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad