AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema kiasi hicho cha fedha alikipata baada ya kuwadanganya watu mbalimbali kuwa atawapa ajira kupitia kanisa lake.
Pia anadaiwa kuwalaghai waumini akiwataka watoe fedha ili wasajiliwe na alitoza viwango tofauti vya fedha.
“Askofu huyo alikamatwa mwishoni mwa wiki jijini Dodoma na alipokea fedha hizo pasipo kutoa ajira yoyote huku akitoa vitisho kwa waliotoa fedha hizo,” alisema
Kamanda Muroto amesema kuwa kanisa hilo ambalo makao yake makuu yapo Arusha halijasajiliwa kwa mujibu wa sheria kama kanisa bali aliisajili Agape Sanctuary kama kampuni binafsi.
Mtuhumiwa atafikishwa mahakani muda wowote kuanzia sasa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK