Kiboko Azua Taharuki Baada ya Kuonekana Kihonda, Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiboko Azua Taharuki Baada ya Kuonekana Kihonda, Morogoro
Kiboko ameonekana leo asubuhi eneo la kata ya Kihonda, manispaa ya Morogoro barabara kuu ya Dodoma-Morogoro.

MCL Digital ilifika eneo la tukio na kushuhudia kiboko huyo akiwa kajificha chini ya kalavati lenye maji.

Awali, wanafunzi wa darasa la saba waliokuwa wakielekea shule ndiyo walikuwa wa kwanza kumuona kiboko huyo akiwa kwenye barabara ya lami eneo hilo.

Baadaye alitoka barabarani na kuingia kwenye kalavati la maji.

Ilionekana kama umati wa watu uliokuwa katika eneo hilo ulimtia hasira kiboko huyo ambaye alikuwa akitoka na kuingia kwenye maji.
Chanzo: Mwananchi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad