AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MCL Digital ilifika eneo la tukio na kushuhudia kiboko huyo akiwa kajificha chini ya kalavati lenye maji.
Awali, wanafunzi wa darasa la saba waliokuwa wakielekea shule ndiyo walikuwa wa kwanza kumuona kiboko huyo akiwa kwenye barabara ya lami eneo hilo.
Baadaye alitoka barabarani na kuingia kwenye kalavati la maji.
Ilionekana kama umati wa watu uliokuwa katika eneo hilo ulimtia hasira kiboko huyo ambaye alikuwa akitoka na kuingia kwenye maji.
Chanzo: Mwananchi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK