“Kinondoni inaongoza kwa uhalifu Tanzania” –Naibu Waziri Masauni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandishi Hamad Masauni akiwa mkoani Dodoma amesema kuwa Wilaya ya Kinondoni, Dar es salaam ndio wilaya inayoongoza kwa matukio ya uhalifu nchini Tanzania na kufuatia hali hiyo Serikali imeanzisha mkakati wa kuwa na vituo vya Polisi vya kuhamishika ili kuweza kusaidia kupunguza matukio hayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad