AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandishi Hamad Masauni akiwa mkoani Dodoma amesema kuwa Wilaya ya Kinondoni, Dar es salaam ndio wilaya inayoongoza kwa matukio ya uhalifu nchini Tanzania na kufuatia hali hiyo Serikali imeanzisha mkakati wa kuwa na vituo vya Polisi vya kuhamishika ili kuweza kusaidia kupunguza matukio hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK