AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Redio Times Fm, leo Juni 13, 2018 amesema kuwa jeshi lake litahakikisha linafanya juhudi wananchi hawatapeliwi.
“Utapeli ambao umekithiri ni wa kimtandao, mtu unatumiwa meseji kwamba umeshinda kiasi fulani kwa hivyo unatakiwa kutuma kiasi fulani ili upatiwe kiasi hicho, Wananchi wengi wamelizwa na utapeli huo lakini Polisi sasa hivi tunafanyia kazi,” amesema Kamanda Mambosasa.
“Sisi tuna ushirikiano wa karibu sana na TCRA na mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanaotapeli wananchi kwa njia ya mtandao tumeshawakamata na bado tunaendelea na juhudi za kuhakikisha wananchi hawatapeliwi,” ameongeza Mambosasa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK