AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na East Africa BreakFast ya East Africa Radio Kubenea amesema Dkt. Akson ametaja sababu alizowahi kuzitoa Spika Ndugai jambo ambalo sio la kweli kwa sababu Spika huyo alisema yeye kwa kupenda kuuliza maswala ya dini kwa hivyo suala hilo halifanani na swali aliloulizwa waziri mkuu hapo jana.
“Huu ni mwendelezo wa mamlaka za bunge kuporwa kwa maksudi na uongozi wa bunge kwani kanuni zinasema mbunge yeyote anayo haki ya kuhoji kwa waziri yeyote kuhusu mambo ya umma”, amesema Kubenea
Jana katika kipindi cha maswali na majibu Naibu Spika Dk. Tulia akson alikataa swali la James Mbatia lililohoji sababu za serikali kuwatumia barua baraza la maaskofu Tanzania KKKT ikiwataka waufute waraka walioutoa katika kipindi cha kwaresma.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK