AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo June 7,2018 Vanessa Mdee anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa Gabon Brazzavile, Vanessa amepostiwa na watu mbalimbali katika mitandoa ya kijamii kumtakia kheri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa.
Jux ameamua kumpost Vanessa na kuandika maneno yanayodhihirisha upendo wake kwa mpenzi wake Vanessa ambaye anasherehekea Birthday yake ya kutimiza miaka 30.
Jux ameandika “Sijui niseme nini kitachoweza kubeba uzito wa thamani yako kwenye maisha yangu @vanessamdee Nitaendelea kumuomba mungu kila siku 🙏🙏 Akupe maisha marefu na afya bora.
“Swala la kukupa furahaa mimi mwenyewe nalimaliza vizuri kabisa Nakupenda sana my love #happybirthday KHAUSA bado naendelea sijamaliza 🎉🎉🎉🎉🎉🎉”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK