Mexico Yaitandika Korea Kusini 2-1

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezo wa kundi F katika michuano ya Kombe la Dunia Urusi, umemalizika kwa Korea Kusini kufungwa mabao 2-1 na Mexico.

Mabao ya mchezo huo yaliwekwa kimiani na Carlos Vela dakika ya 26 kwa njia ya penati pamoja na Xavier Hernandez kwenye dakika ya 66.

Bao pekee la Korea liliwekwa kimiani na Song Heung mnamo dakika ya 90 zikiwa zimeongezwa tatu mpira kumalizika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad