AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muharrem alikuwa akiwania kiti cha urais kupitia chama cha CHP.
Akihutubia katika mji mkuu wa Ankara,Muharram amesema kuwa amekubaliana na matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa Jumapili usiku.
Rais Erdoğan amechaguliwa kwa mara nyingine kuliongoza taifa la Uturuki.
Ameshinda kwa asilimia 52.2 huku Muharram akiwa na asilimia 30.6.
Vilevile Muharrem amekanusha madai ya kupokea vitisho vya aina yoyote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK