Mwanamke Amuua Mwanaye wa Miaka 3 kwa Kumpiga Mawe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamke Amuua Mwanaye wa Miaka 3 kwa Kumpiga Mawe
Jeshi la Polisi katika eneo la Murang’a nchini Kenya, linamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumpiga na mawe mtoto wake wa miaka mitatu na kusababisha kifo chake.

Gazeti la Daily Nation limesema tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia June 11 2018 katika Kijiji cha Tuthu, mwanamke huyo pia alimshambulia mama yake kwa mawe ambapo alijeruhiwa na kusadikika kuwa mwanamke huyo huenda ana matatizo ya akili.

Mashahidi katika eneo hilo wamedai kuwa mwanamke huyo alianza kurusha mawe kwa watu waliopo katika eneo hilo na kisha badae waliona mwili wa mtoto ukiwa umelala chini ndipo waliamua kuita viongozi wa eneo hilo.

Akithibitisha tukio hilo kamanda wa Polisi katika eneo hilo Ben Kipkoech amesema mtuhumiwa huyo atakabiliwa na kosa la mauji ingawa Polisi wamepata taarifa za kuwa mwanamke huyo ana matatizo ya akili lakini watahitaji ripoti ya daktari kuthibitisha
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad