AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dina Ainomugisha anadaiwa kumuua mume wake ambaye alikuwa ni mfanya biashara wa ndizi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni ugomvi juu ya mali za familia yao.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ibanda Rogers Chebene amesema kuwa mmoja wa watuhumiwa ambaye alishiriki katika zoezi hilo ambaye hakupata mgao wake wa fedha kama walivyokubaliana ndiye aliyewapa taarifa jeshi la Polisi kuhusiana na tukio hilo.
Watuhumiwa wengine walioshiriki katika tukio hilo wametajwa kuwa ni Keresensio Mwesigye Alias Kamwesi, Experito Kacunguza, Stephen Mukama pamoja na Medrine Kabasiita ambao wote kwa sasa wametiwa nguvuni na jeshi la Polisi.
Aidha mwili wa Marehemu umechukuliwa na kupelekwa katika kituo cha Afya cha Ruhoko kwa uchunguzi zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK