Zitto alia bajeti kuwaumiza wakulima, wafanyakazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zitto alia bajeti kuwaumiza wakulima, wafanyakazi
Chama cha ACT Wazalendo, kimesema, Bajeti ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha 2018/19, inawaumiza wafanyakazi na wakulima nchini.


Leo wakati akifanya uchambuzi wa Bajeti hiyo, mbele ya waandishi wa habari, na wadau wengine wa uchumi na biashara, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema, utekelezaji wa Bajeti hiyo utapungua kwa 23% huku wakulima na wafanyakazi wakiendelea kuumia.

Kiongozi huyo amesema ili kuwapa unafuu amependekeza Kodi ya Mshahara yaani Paye, ipunguzwe na michango kwenye mifuko ya jamii ifanyiwe marekebisho ikiwemo kushushwa kwa michango ya pensheni kutoka 20% mpaka 12% ili kuwapa unafuu wafanyakazi na waajiri.

 Kuhusu kilimo, amesema, Bajeti yake imepunguzwa kwa 23% licha ya kukabiliwa na changamoto nyingi, huku kikiajiri 66% ya Watanzania wote.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad