Nahreel na Aika Waweka Wazi Mipango ya Kufunga Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nahreel na Aika Waweka Wazi Mipango ya Kufunga Ndoa
Wasanii Nahreel na Aika wanaounda kundi la Navy Kenzo ambao pia ni wapenzi wamefunguka kuhusu mipango ya kufunga ndoa.

Nahreel ambaye ni producer pia katika mahojiano na FNL ya EATV alieleza kuwa muunganiko wao kama wapenzi ni muhimu zaidi kwa sasa kabla ya ndoa.

“Mimi na Aika nadhani the bond ni special, wedding ni important kufanyika katika maisha lakini Bond yangu na Aika is very special,” alisema Nahreel.

Kwa upande wake Aika alieleza kuwa; ‘Na tusiwafundishe watu wengine kuwa walazimishe kuingia kwenye ndoa kabla mtu hajawa tayari kuwa na ile bond, ni muhimu sana’.

Navy Kenzo ambao wanatamba na ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la Fella, katika mahusiano yao ambayo yamedumu kwa takribani miaka 10 sasa wamejaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad