AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Obama atakuwepo nchini humo kwa saa 24 tu kabla ya kupanda ndege kuelekea nchini Afrika Kusini ambako atahutubia kwenye mkutano wa 16 wa kuhusu taasisi ya Nelson Mandela.
Taarifa zinadai kuwa Obama ambaye ataambatana na mwendesha kipindi maarufu Oprah Winfrey pia atafanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta kabla ya kuwatembelea ndugu zake kwa mara nyingine katika kijiji cha Kogelo alikozaliwa baba yake mzazi.
Tayari wananchi wa kijiji hicho wamekwisha anza maandalizi kwa ajili ya kumpokea ndugu yao huyo kutoka nchini Marekani anayetarajiwa kuwasili July 16 mwaka huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK