AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Padri Ogalo kupitia mahojiano yake na BBC amesema kuwa anauwezo wa kufanya kolabo na wasanii wakubwa nchini Kenya kama Nameless, Willy Paul, Size 8, Wyre na kwenda mbali zaidi kwa kumtaja Diamond Platnumz.
“Naweza kufanya kolabo na watu kama Willy Paul, Wyre, Size 8, Nameless na wengine hata Diamond Platnumz,“amesema Padri Ogalo.
Jana Kanisa Katoliki nchini Kenya kupitia kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Homa Bay, Philip Anyolo lilitangaza kumsimamisha kazi Padri huyo kwa mwaka mmoja kwa kitendo cha ku-rap kanisani. Tazama mahojiano yake na BBC hapa chini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK