AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baadhi ya wakazi wamesema wamekuwa wakilazimishwa kufanya mambo nje ya sheria kutokana na kuwa na hamu ya kuwatoa ndugu zao waliofungwa jela.
“Hapa , kama polisi wakimkamata mtu, kitu cha kwanza wanachoomba ni kreti za bia kuanzia kreti 5 hadi 6 kabla ya kufikiria kumuachia ndugu yako” amesema Ms Lilian Andama Lawrence ambaye ni mkazi wa Offaka.
Wakazi hao wameyasema hayo mbele ya wafanyakazi wa Taasisi za Haki ya binadamu (FHRI), Freedom House na ”Judicial Service Commission” (JSC), ambao walitembelea eneo hilo.
Ms Sydey Etima-Ojara, ambaye ni msaidizi na mshauri wa chama cha JSC na Ms Maria Kaddu Busuulwa ambaye Mwenyekiti wa Taasisi ya Haki na sheria wa FHRI wamesema kuwa wanahitaji kuwaelimisha wakazi juu ya kukataa kutoa rushwa inayoombwa na polisi hao.
Ameongezea kuwa kufuatia tukio hili kuna uhitaji mkubwa wa kuwasimamia vyema polisi ili kudhibiti vitendo hivyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK