Siwezi Kwenda Kula Chakula kwa Shishi Food;-Mziwanda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamuziki Nuh Mziwanda amefunguka na kusema kuwa kamwe katika maisha yake hawezi kwenda kula chakula kwa shiloleh mwanamke ambae aliwahi kuwa nae katika mahusiano hapo awali lakini baadae kutengana na shiloleh kuolewa na mwanaume mwingine.

Nuh anasema kuwa hata kama kuna chakula cha aia gani lakini hatokaa hata siku moja kukanyaga pale kwa sababu wameshagombana na aatakuwa anaenda pale kufanya nini .

Siwezi kwenda kula chakula kwa kwake,siwezi hata kukanyaga mguu wangu pale  siwezi tu.naendaje mii kula pale na wala haitatokea mimi kwenda kula pale hata kama kuna msosi mtamu lakini pia hata mama yangu anajua sana kupika.

Nuh na shiloleh waliwahi kuwa wapenzi kwa muda mrefu  kipindi cha nyuma lakini walikuja kushindwana kwa tetesi kuwa Nuh alikuwa akiteswa sana na Shiloleh na kupigwa  sana shiloleh.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad