AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Nuh Mziwanda amefunguka na kusema kuwa kamwe katika maisha yake hawezi kwenda kula chakula kwa shiloleh mwanamke ambae aliwahi kuwa nae katika mahusiano hapo awali lakini baadae kutengana na shiloleh kuolewa na mwanaume mwingine.
Nuh anasema kuwa hata kama kuna chakula cha aia gani lakini hatokaa hata siku moja kukanyaga pale kwa sababu wameshagombana na aatakuwa anaenda pale kufanya nini .
Siwezi kwenda kula chakula kwa kwake,siwezi hata kukanyaga mguu wangu pale siwezi tu.naendaje mii kula pale na wala haitatokea mimi kwenda kula pale hata kama kuna msosi mtamu lakini pia hata mama yangu anajua sana kupika.
Nuh na shiloleh waliwahi kuwa wapenzi kwa muda mrefu kipindi cha nyuma lakini walikuja kushindwana kwa tetesi kuwa Nuh alikuwa akiteswa sana na Shiloleh na kupigwa sana shiloleh.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK