Jini Mkatakamba Alipitia Penzi la Amber Lulu na Prezzo "Maisha ya Mabwana Yamenishinda Ngoja Nikitulize"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jini Mkatakamba Alipitia Penzi la Amber Lulu na Prezzo "Maisha ya Mabwana Yamenishinda Ngoja Nikitulize"
Inawezekana penzi kati ya staa maarufu kutokea Nairobi Kenya Prezzo na Amber Lulu limefikia ukingoni rasmi? hili ni moja ya swali ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza na hii ni baada ya picha na caption aliyoiandika Amber Lulu kupitia ukurasa wake wa instagram leo July 2,2018.

Amber Lulu ameandika “Nimechokaaaaa 🙌🙌 maisha mengine yaendelee ya mabwana yamenishinda ngoja nikitulize money first Maana sioni jipya”


Penzi hilo lilionekana kuanza na kuwa wazi October 2017 na hivyo Amber Lulu ameonekana kuanika rasmi kuwa kwa sasa yupo single kwani maisha ya kimapenzi yamemshinda kwa sasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad