Mbwa Hatari zaidi Huyu Ndiye Mbwa Mkali Duniani Anakamata Watu 6 kwa Mara Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbwa HATARI zaidi Huyu Ndiye Mbwa Mkali Duniani Anakamata Watu 6 kwa Mara Moja
Ufugaji wa mnyama aina ya Mbwa ambapo inaelezwa kuwa kuna Mbwa wanafikia uzito wa hadi Kilo 150 waliochanganywa na mbegu za Simba na Chui wakiwa na uwezo wa kukamata watu 6 kwa wakati mmoja.

Afisa Masoko wa Mkuki Dog Kennel, Sylvester Luena anasema Mbwa wenyewe uwezo wa namna hiyo wengi wanachanganya mbegu katika mataifa ya nje kwa Tanzania hakuna.

“Jamii ya hao wanapatina Marekani, Afrika Kusini, Uingereza na mataifa mengine ambapo sisi tunafanya kuagizia na wana uwezo mkubwa wa kukamata hata watu 6 kwa muda,”. amesema Luena

Luena amesema kuwa Mbwa wa namna hiyo wanafundishwa jinsi ya kulinda na kukabiliana na wahalifu hasa kwa nyakati za usiku.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad