AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa Masoko wa Mkuki Dog Kennel, Sylvester Luena anasema Mbwa wenyewe uwezo wa namna hiyo wengi wanachanganya mbegu katika mataifa ya nje kwa Tanzania hakuna.
“Jamii ya hao wanapatina Marekani, Afrika Kusini, Uingereza na mataifa mengine ambapo sisi tunafanya kuagizia na wana uwezo mkubwa wa kukamata hata watu 6 kwa muda,”. amesema Luena
Luena amesema kuwa Mbwa wa namna hiyo wanafundishwa jinsi ya kulinda na kukabiliana na wahalifu hasa kwa nyakati za usiku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK