AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabinti wa vyuo waliojiliwa na Jeshi la Polisi nchini Lebanon.
Pierre ametoa nafasi hiyo kwa mabinti wa vyuo vikuu kuajiliwa ili kufanya kazi na maafisa usalama barabarani huku akiwataka kuvaa nguo fupi kwa kile alichodai kuwa ni sehemu ya kuvutia vyombo vya habari, ndani na nje ya nchi.
"Sababu kubwa ya kuajili mabinti hawa ni kuongeza mvuto katika maeneo yetu ya mji na kuvutia vyombo vya habari ambapo tutapata namba kubwa ya watalii na kukuza uchumi wa nchi yetu”, amesema Pierre.
Hili ni agizo la pili kutoka kwa Pierre baada ya siku chache zilizopita kutoa agizo kwa walimu wa mazoezi ya viungo kufundisha mabinti pembezoni mwa barabara mjini Broummana ili kuwavutia watalii.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK