Milioni 684 Zatumika Katika Mkutano wa Trump na Putin

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Milioni 684 Zatumika Katika Mkutano wa Trump na Putin
MKUTANO kati ya  Rais Trump wa Marekani na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, nchini Helsinki ‘umekula’ Dola 300,000 ambazo ni sawa na Sh. mil. 684 za Tanzania.

Fedha hiyo ni pamoja na manunuzi na matumizi mbalimbali kwa ajili ya mkutano huo nchini Helsinki.

Mkutano kati ya Trump na kiongozi wa Korea ya Kaskazini, Kim Jong-un, uliofanyika kama miezi miwili iliyopita, ‘ulikula’ Dola 162,000 ambazo ni sawa na Sh. mil. 369.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad