AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ripoti hiyo imewashutumu maafisa wanaofanya kazi katika jela ya Ogaden pamoja na maafisa wa kikosi cha Polisi cha Liyu, kwa kuwapiga na kuwabaka wafungwa wa kike wanaodaiwa kuwa waasi wa kundi la upinzani la Ogaden Liberation Front.
Human Right Watch ili wahoji wafungwa zaidi ya 100 waliokuwa wamefungwa katika gereza la Ogaden kati ya mwaka ya 2011 na 2018 huku wafungwa hao wakikaririwa kuwa walivuliwa nguo na maafisa wa gereza hilo kisha kubakwa.
Aidha katika ripoti hiyo imeonesha kuwa watoto wengi wamezaliwa kwa njia ya ubakaji huku wakiwa ndani ya 'seli' vyumba vya wafungwa bila huduma za kiafya.
Hata hivyo Waziri Mkuu mpya wa Ethiopia Abiy Ahmed, amekiri kuwa maafisa wa usalama wamewatesa wafungwa hao na serikali itafuatilia suala hilo na wote waliohusika watawajibishwa kisheria.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK