Ronaldo Afanyiwa Vipimo Juventus

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ronaldo Afanyiwa Vipimo Juventus
HUKU  shamra za fainali ya Kombe la Dunia baina ya Ufaransa na Croatia zikiwa zinaendelea kusikika duniani, masikio na macho ya wapenzi wa soka duniani yameanza kuhamia katika kuwasili kwa nyota wa mchezo huo duniani, Cristiano Ronaldo jijini Turin kujiunga na timu ya Juventus akitokea katika timu ya Real Madrid.


Ronaldo, mwenye umri wa miaka 33, amewasili katika timu hiyo na kufanyiwa vipimo mbalimbali ambapo yuko mbioni kukamilisha uhamisho wake kwenda timu hiyo ya Italia, akiwa ameondoka Real Madrid ya Hispania aliyoitumikia kwa miaka tisa na kuipatia ubingwa wa ligi ya nchi hiyo mara nne.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad