AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya mazungumzo yao, ya ana kwa ana na Rais wa Urusi Vladmir Putin, Rais Trump ameyapinga mashirika ya ujasusi ya Marekani na kusema hakukua na sababu yoyote ya Urusi kuingilia uchaguzi huo.
Kwa upande wake Rais Putin amesisitiza kwamba kamwe nchi yake haijawahi kuingilia mahusiano na Marekani.
Aidha kuhusiana na mkutano wa Helsinki, Kwa upande wake Rais Putin ameuelezea mkutano huo kama uliokuwa wazi bila ya kupangwa na wenye manufaa.
Mazungumzo hayo ya faragha ya viongozi hao, yalichukua karibu saa mbili katika mji mkuu wa Finland Helsinki hapo jana.
Katika mkutano na Waandishi wa Habari, baada ya mkutano huo, Rais Trump aliulizwa kama anayaamini mashirika yake ya ujasusi ama Rais wa Urusi, zinapokuja tuhuma za udukuzi katika uchaguzi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK