Uturuki Yaondoa Hali ya Hatari Iliyoidhinishwa Baada ya Jaribo la Mapinduzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uturuki Yaondoa Hali ya Hatari Iliyoidhinishwa Baada ya Jaribo la Mapinduzi
Vyombo vya habari vya taifa nchini Uturuki vimetangaza kwamba serikali imeondoa hali ya hatari iliyowekwa nchini humo kufuatia mapinduzi yaliyoshindwa miaka miwili iliyopita.

Katika kipindi hicho makumi kwa maelfu ya watu walikamatwa na kushikiliwa bila ya kufunguliwa mashtaka chini ya agizo la Rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdogan.

Wanajeshi, Polisi, Raia, Waandishi wa Habarai na walimu ni miongoni mwa waliokamatwa.

Maelfu wengine ikiwemo majaji kadhaa waliachishwa kazi zao.

Reli mpya ya SGR nchini Kenya yasababisha hasara ya shilingi bilioni 10

Mfanyakazi azawadiwa gari na mwajiri wake baada ya kutembea umbali wa kilomita 32

Zawadi ya Magufuli kwa Obama na mambo mengine makuu

Shirika la Haki za Binadamu la Amnesty International limesema kuondolewa kwa hali hiyo ya hatari pekee hakuwezi kbadili hatua kazli za kisiasa zilizochukuliwa ambazo ziliibadili nchi hiyo na kuifanya inayokandamiza haki za binadamu.

Mapema mwezi huu Rais Erdogan aliapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad