PAUL Makonda atinga Makao Makuu ya CCM Dodoma kuhojiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

PAUL Makonda atinga Makao Makuu ya CCM Dodoma kuhojiwa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewasili kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dodoma kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.


Makonda ameitikia wito wa kufika mbele ya kamati hiyo kwa barua aliyoandikiwa Aprili 16, 2024 huku sababu za kuitwa kwake zikiwa hazijawekwa wazi.


Awali, Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 kabla ya kusogezwa mbele na kupangwa kufanyika leo Jumatatu, Aprili 22, 2024.


Gazeti la Mwananchi ambalo limeweka kambi kwenye ofisi hizo limeshughudia Makonda akiwasili eneo hilo saa 3:15 asubuhi akiwa na gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 ya rangi ya kijivu. Hata hivyo, tofauti na siku zingine leo ulinzi kwenye ofisi hizo umeimarishwa zaidi.


Endelea kufuatilia mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa zaidi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad