AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa chombo cha Al Jazeera taarifa za hivi karibuni zinaeekeza kuwa jumla ya wanachama nane wa klabu hiyo ya soka ya vijana bado wamekwama kwenye mapango hayo ya kaskazini mwa nchi ya Thailand.
Jumla ya vijana wanne kati ya 12 waliyookolewa wamewahishwa kwenye hospitali ya Chiang Rai, iliyopo kilomita 60 kutoka maeneo hayo kwaajili ya matibabu zaidi.
Vijana hao wa kiume wamekwama tangu June 23 mwaka huu wakiwa walikwenda na waalimu wao kwaajili ya kutembelea mapango hayo kablaya kujaa maji.
Dunia nzima imeungana na Thailandi hii leo siku ya Jumatatu kwaajili ya kusaidia zoezi hilo kwenda kama linavyo tarajiwa huku wazazi wa watoto hao wakiendelea na maombi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK