Baraka The Prince Atoa ya Moyoni Kuhusu Daimond "Ndio Msanii Mwenye Mafanikio "

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraka The Prince Atoa ya Moyoni Kuhusu Daimond "Ndio Msanii Mwenye Mafanikio "
Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema kabisa na ngoma yake ya ‘Sina’ Barakah The Prince amefunguka na kumtaja Diamod kama Msanii Mwenye mafanikio ambaye yanaonekana.

Barakah amemtaja Diamond baada ya kuulizwa kuhusu wasanii mwenye mafanikio ambapo amekiri kuwa wasanii kadhaa wenye mafanikio sana lakini Diamond ndiye anayeonekana kufanikiwa zaidi.

Kwenye mahojiano na kipindi cha The Playlist cha Times Fm, Barakah amesema wasanii wenye mafanikio wapo wengi lakini hajui mkwanja wao benki au hawajionyeshi sana lakini Diamond anaonekana wazi kabisa:

Wasanii wengi wana mafanikio wakina Ali Kiba, AY, Joti, Masanja, sitaki kujudge kama Diamond ndio Msanii wa kwanza kwa sababu sijui akaunti yake lakini kwa nje kila mtu anaweza kuwa na mtazamo huo kwa sababu anafanya vitu vinavyoonekana katika jamii”.


Lakini hatuwezi kusema nani namba moja kwa sababu hatujui akaunti ya Sugu ipoje? Ommy Dimpoz, Profesa Jay, Juma Nature na wasanii wengineo”.

Msanii Chemical amewahi kumtaja Diamond kama Msanii Mwenye mafanikio na pesa zaidi Kwenye muziki wa Bongo fleva.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad