Breaking: Naibu Jaji Mkuu Kenya Akamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Naibu Jaji mkuu Kenya akamatwa
Naibu Jaji mkuu Kenya Philomena Mwilu amekamatwa katika mahakama ya juu zaidi Nairobi kutokana na tuhuma za rushwa.

Jaji Mwilu amepelekwa katika makao ya idara ya uchunguzi wa uhalifu DCI kuhojiwa.

Muda mfupi baada ya kukamatwa, mwendesha mashtaka mkuu nchini Noordin Haji ameitisha mkutano wa dharura na waandishi wa habari kuhusu suala hilo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad