Breaking News: Mbunge Hawa Ghasia Amejiuzulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking News: Mbunge Hawa Ghasia Amejiuzulu
MBUNGE wa Mtwara Vijijini (CCM) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Hawa Ghasia na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Jitu Soni wamejiuzulu nafasi hizo, leo Jumanne Agosti 28, 2018.



Ghasia na Soni ambaye pia ni Mbunge wa Babati Vijijini wametangaza uamuzi wao leo asubuhi mbele ya wajumbe wa kamati hiyo jijini Dodoma.



Bado haijafahamika sababu za viongozi hao kufanya uamuzi ho wa kujiuzulu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wamejiuzulu ubunge?

    ReplyDelete
    Replies
    1. nafasi zao za uwenyekiti na umakamu wa Kamati za bajeti

      Delete

Top Post Ad