AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa shuhuda ambaye yupo eneo la tukio hilo anasema takribani gari sita zikiwa za kampuni ya Azam zimeungua na moto huo, huku ikielezwa kuwa dereva wa gari la Lake Oil anahisiwa kupoteza maisha.
Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ngara amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema bado wako kwenye uokoaji na taarifa kamili watazitoa baadae.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK