AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lema amesema hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii ambapo amedai kuwa tatizo kubwa linalolikabili taifa kwa sasa ni kuwa wananchi wanadhani kuwa haki na demokrasia inatafutwa na wapinzani pekee.
“Watu wanafikiri masuala ya haki, usawa na utawala wa sheria ni wajibu wa CHADEMA hawa wana hitaji maombi na dua,jambo lolote linalohusu haki na demokrasia ni wajibu wa kila Mwananchi.Tatizo kubwa linalokabili Nchi kwa sasa ni kuwa na aina hii ya fikra hata kwa wanaoitwa wasomi”, ameandika Lema.
Kauli ya Lema imekuja ikiwa ni siku moja toka Menyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo taifa (CHADEMA), Freeman Mbowe kufunguka kuwa kudai kuwa hawaridhishwi na mwenendo wa kesi inayowakabili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK