Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi la Uganda Kale Kayihura Ashtakiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi la Uganda Kale Kayihura Ashtakiwa
Aliyekuwa Mkuu wa jeshi la polisi nchini Uganda IGP - Kale Kayihura amefikishwa katika mahakama ya jeshi ya Makindye kwa mashtaka kadhaa dhidi yake.

Ameshtakiwa kwa kushindwa kulinda zana za kivita.

Kwamba kati ya mwaka 2010 na 2018 alitoa idhini silaha zitolewe kwa watu wasiostahili, na ameshtakiwa kwa kusaidia na kuhamishwa kiharamu kwa raia wa Rwanda walio uhamishoni.

Kayihura amekana mashtaka yote matatu.

Mawakili wake wameomba aachiliwe kwa dhamana, na wakatakiwa wawasilishe ombi hilo kwa maandishi.

Bobi Wine ashtakiwa kwa uhaini Uganda

Alikamatwa nyumbani mwake katika kijiji cha Katebe wilayani Lyantonde district mnamo Juni na amekuwa kizuizini kwa miezi miwili kufikia sasa.

Jenerali Kale Kayihura, ambaye kwa wakati mmoja aliyekuwa mojawapo ya watu wenye nguvu nchini Uganda amekuwa akizuiliwa katika kambi ya kijeshi huko Makindye, kitongoji cha mji mkuu Kampala.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad