AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga itashuka dimbani kucheza mchezo huo wa mkondo wa pili baada ya kupoteza ule wa kwanza huko Algiers, Algeria kwa kufungwa mabao 4-0.
Mbali na Jenerali Mabeyo, uongozi wa Yanga umesema aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Mfanyabiashara Yusuph Manji, naye atakuwepo Uwanjani hapo kuishuhudia timu yake.
Manji atakuwa anarejea rasmi Uwanja wa Taifa kuitazama Yanga ikiwa ni takribani mwaka mmoja na miezi kadhaa tangu atangaze kujizulu wadhifa wake ndani ya klabu hiyo.
Uwepo wa Manji unaweza kuwa baraka na neema kwa wadau, wanachama, wapenzi na mashabiki wa klabu hiyo ambayo imekuwa ikipitia kipindi kigumu hivi sasa.
Mechi hiyo itapigwa majira ya saa 1 za usiku kwa mujibu wa ratiba na itaoneshwa mubashara na kituo cha Azam TV.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK