AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Mikito Nusunusu, Nandy alisema kwamba anapenda sana kufanya ibada kwa sababu anaamini bila Mungu hawezi kufika popote pale na kuwa yeyote yule kwenye kazi yake na hata katika lolote lile.
“Kiukweli mbali na nidhamu na kila kitu napenda sana kufanya ibada na ndiyo kunanifanya nizidi kufanikiwa siku hadi siku katika muziki wangu.
“Unajua Mungu ni kila kitu na bila yeye hatuwezi kufika popote pale au kuwa yeyote yule. Kwa hiyo ibada kwangu ni mbele siku zote aisee,” alisema Nandy.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK