TAKUKURU Hai Yamfikisha Mahakamani Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi na Mfanyabiashara Mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TAKUKURU Hai Yamfikisha Mahakamani Mkuu wa Kitengo cha Uchaguzi na Mfanyabiashara Mmoja
Watu wawili akiwamo Mfanyabiashara wa mjini Moshi, Oscar Kigumu, wamefikishwa kortini jana Agosti 14, 2018 wilayanj Hai kwa tuhuma za ubadhirifu wa Sh27.6 milioni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Mfanyabiashara huyo anayemiliki kampuni ya Oscar Food and Beverage Catering Services, ameshitakiwa pamoja na mkuu wa kitengo cha uchaguzi wa Halmashauri ya Hai, Edward Ntakiliho.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad