AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Kaimu Rais wa klabu hiyo, Salim Abdallah 'Try Again' amesema tukio hilo halifuahishi kutokana na mchango wa Wanahabari kwa ujumla juu ya mchango ambao wanatoa.
Again ametoa pole zake za dhati kwa Wanahabari wote kwa ujumla juu ya Mwandishi huyo aliyepigwa na askari hao wakati Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola alipokuwa ndani ya Uwanja kuzungumza machache kabla ya pambano kuanza.
Kitendo cha Mbisse kupigwa kilisababisha Waziri Lugola kuingia na ndipo ikafikia hatua ya Mwandishi huyo kutolewa nje ya Uwanja kwa usalama zaidi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK