AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nabii Daniel amefunguka hayo alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV, baada ya yeye kuonekana eneo la Mliman City jijini Dar es Salaam kwenye uzinduzi wa filamu mpya ya Duma inayoitwa nipe changu.
"Ili mimi niwakamate watu wa bongo movie na niwalete kwa Yesu ni lazima nikae nao karibu, siwezi nikaa nao mbali halafu nitegemee kuwavuta. Mimi Duma ni mtu ambaye nimemsaidia sana katika kazi zake za sana", amesema Nabii Daniel.
Pamoja na hayo, Nabii Daniel ameendelea kwa kusema "kuangalia filamu sio dhambi tena kuna wachungaji hao walokole wengine ni wanafiki wanaangalia nyumbani ila mimi nimeamua kuangalia 'live".
Mbali na hilo, Nabii Daniel amesema lengo kubwa ya yeye kujichanganya kwa watu mbalimbali ni kutaka kutangaza neno la Mungu, kwa kuwa hata Yesu alivyoshuka duniani alitembelea makundi mbalimbali na kujiweka kwa kila mmoja wao na kutangaza neno.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK