AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kuwa Kwenye Mahusiano kwa miaka kumi Nahreel na Aikah tayari wamejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume mapema mwaka huu anayeitwa Gold.
Wasanii hao walikutana miaka kumi iliyopita nchini India ambapo wote walikuwa wameenda kimasomo na kuanzisha Safari yao ya mapenzi pamoja na kufanya Muziki pamoja.
Pamoja na kuwa wote kwa miaka kumi sasa wasanii hao wameweka wazi kuwa hawana haraka ya kufunga ndoa kwa sababu tu maneno ya watu bali watafunga ndoa pale watakapokuwa tayari.
Wapendanao hao wameonekana wakila bata katika viwanja mbali mbali katika visiwa vya Zanzibar na hata kuandikiana posti za kimahaba Kwenye mitandao ya kijamii:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK