AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bobi Wine amesema anarejea Uganda akiwa na amani na uhuru wa kufanya kile anachokiamini, huku akishangazwa na taarifa ya jeshi la polisi nchini humo kuwakataza wananchi waliopanga kumpokea.
Jana Jeshi la Polisi nchini Uganda, kupitia kwa msemaji wake, Emilian Kayima lilitangaza kuwa hakuna watu watakaoruhusiwa kumpokea Bobi Wine isipokuwa familia yake tu.
Bobi Wine alienda kutibiwa Marekani baada ya kupigwa na Jeshi la nchi hiyo kwa tuhuma za kuchochea vurugu kwenye uchaguzi mdogo mjini Arua.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK