Bobi Wine Kutua Leo Uganda Polisi Wapiga Stop Watu Kwenda Kumpokea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bobi Wine Kutua Leo Uganda Polisi Wapiga Stop Watu Kwenda Kumpokea
Hatimaye msanii wa muziki nchini Uganda, Bobi Wine leo Septemba 20, 2018 anatarajiwa kuwasili nchini humo akitokea Marekani alikokuwa anatibiwa kwa wiki tatu zilizopita.

Bobi Wine amesema anarejea Uganda akiwa na amani na uhuru wa kufanya kile anachokiamini, huku akishangazwa na taarifa ya jeshi la polisi nchini humo kuwakataza wananchi waliopanga kumpokea.

Jana Jeshi la Polisi nchini Uganda, kupitia kwa msemaji wake, Emilian Kayima lilitangaza kuwa hakuna watu watakaoruhusiwa kumpokea Bobi Wine isipokuwa familia yake tu.
Bobi Wine alienda kutibiwa Marekani baada ya kupigwa na Jeshi la nchi hiyo kwa tuhuma za kuchochea vurugu kwenye uchaguzi mdogo mjini Arua.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad