Bodi ya Ligi Imewachukuliaa Hatua za Kinidhamu Waamuzi Walioshindwa Kutafsiri Sheria 17 za Soka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bodi ya Ligi  Imewachukuliaa Hatua za Kinidhamu waamuzi Walioshindwa Kutafsiri Sheria 17 za Soka
Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa ligi (Kamati Ya Saa 72) inayoendeshwa na bodi ya ligi nchini imefanya maamuzi baada ya kupitia na kujadili ripoti ya michezo ya mzunguuko wa kwanza na wa pili ya ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu wa 2018/19 iliyoanza rasmi August 22 2018

Kamati hiyo iliyokutana mwishoni mwa wiki iliyopita imewachukuliaa hatua za kinidhamu baadhi ya waamuzi waliokua wamesimamishwa na kamati ya waamuzi ya shirikisho la soka Tanzania TFF, kufuatia kushindwa kuzimudu sheria 17 za mchezo wa soka.

Mkurugenzi mtendaji wa bodi ya ligi Boniface Wambura amezungumza na waandishi wa habari na kuweka wazi maamuzi hayo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad