AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hivi karibuni, Linah alisikika akisema kuwa amekuwa akiwachukia Sister Fey na Holystar mabae ndio mpezni wake kwa sasa kutokana na mambo wanayoyafanya na kuyaweka hadharani kiasi kwamba wanaonekana kama wanaigiza.
Hata hivyo baadaya kusikia hivyo Sister Fey anasema kuwa amelipoke swala hilo kwa masikitiko makubwa na anachoamini ni kwamba kama mtu anatangaza kuwa anakuchukia mana yake anweza kukufanya kiyu chochote kile hata kukuua kwa sababu tayari anakuchukia.
sister fey anasema kuwa anatamani kwenda polisi kwa sababu anahofia sana usalama wake kwa sasa “wasanii ni kweli hatupendani kabisa na huenda labda anataka kuniua,sijapenda na nimeua , mpenzi wangu ameuamia ila mimi nimeumia zaidi.kwa sababu ukiangalia sasa hivi pia kuna msanii mwenzetu anaumwa kwa sababu tu ya kuwekewa sumu kwenye kinywaji“
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK