Diamond awajibu wanaobeza Style Yake ya Rasta ‘Nimeamua Kubadilisha Muonekano’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond awajibu wanaobeza style yake ya rasta ‘nimeamua kubadilisha muonekano’
Rais wa WCB Diamond Platnumz Jumatatu hii amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushare picha inayomuonyesha akiwa na muonekano mpya wa mwele ambazo zimesukwa mtindo wa rasta.



Wadau wengi katika mitandao ya kijamii wanadai mtindo huo niwa kike kutokana na msuko huo kuacha nywele sehemu ya nyumba.

Bongo5 ilizungumza na Diamond kuhusiana na tukio hilo ambapo amesema yeye ameona yupo sahihi ndio maana ameamua kufanya hivyo.

“Nimeamua tu kubadilisha kidogo muonekano, baadae nitabadilisha tena” alisema Diamond.

Wiki chache zilizopita mumbaji huyo alishambuliwa mitandaoni baada ya kuvaa kikuku na baada ya kuhojiwa alisema asipangiwe kitu cha kufanya katika maisha yake.

Diamond afunguka kuhusu muonekano wake wa nywele “Nimeamua tu kubadilisha kidogo muonekano, baadae nitabadilisha tena”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad