AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga leo wameikaribisha Coastal Union inayochezewa na staa wa Bongofleva Alikiba katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Yanga wakiwa nyumbani wamefanikiwa kupata ushindi wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu kwa kuifunga Coastal Union kwa goli 1-0, goli la Yanga likifungwa na Herietier Makambo dakika 11 kwa kutumia vyema pasi ya Ajib.
Ushindi huo sasa unaifanya Yanga kufikisha jumla ya point tisa baada ya kucheza game tatu mfululizo za Ligi Kuu na kufanikiwa kupata ushindi katika game zote, Yanga alipata ushindi wa 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar, 4-3 dhidi ya Stand United na leo 1-0 dhidi ya Coastal Union ila Coastal Union bado haijamtumia mchezaji wake mpya Alikiba katika game za ushindani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK