Diamond Platnumz na Irene Waonekana Pamoja Wakielekea Zanzibar 

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB, Diamond Platnumz amedaiwa kuonekana kwenye visiwa vya Zanzibar akiwa na video queen Irene Hillary.

Diamond ambaye alitangaza kuwa yupo Single wiki iliyopita baada ya kuachana na mpenzi wake wa siku nyingi na mama  watoto wake Hamisa Mobetto, ameonekana kupata mpenzi mwingine.

Kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa Diamond ana Mahusiano ya Kimapenzi na Irene mpaka kuna muda ilisemekana kuwa aliwahi kubeba ujauzito wake.

Diamond ambaye kwa sasa yupo visiwani  Zanzibar kwa ajili ya kazi zake za sanaa anadaiwa kuonekana na Mrembo Irene wakiwa bega kwa bega kuonyesha kuwa wako pamoja.

Picha ambayo inasambaa Kwenye mitandao ya kijamii inawaonyesha wawili hao wakiwa pamoja na crew nzima ya WCB:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad